Tafuta

Appointiment


*

Umuhimu wa vyakula vya vitamini B12 kwa afya ya ini na mfumo wa cell kinga za mwili


Vitamini B-12 ni vitamini ambayo mwili hutumia kutengeneza na kusaidia seli za ini pamoja na seli za neva iweze kuwa na afya zaidi. Pia hutumika kutengeneza seli nyekundu za damu zenye afya na nyenzo za kijeni ndani ya seli zinazoitwa DNA. Vitamini B-12 pia inaitwa cobalamin. Vyanzo vya chakula vya vitamini B-12 ni pamoja na kuku, samaki na bidhaa za maziwa.

Vitamini B12 ni moja ya virutubisho muhimu sana kwa afya ya mwili mzima โ€” hasa kwa mgonjwa wa ini (liver patient).

Ini lina jukumu kubwa katika kuhifadhi na kutumia vitamini hii, hivyo upungufu wake unaweza kuwa na athari kubwa zaidi kwa wagonjwa wa ini.

Hapa chini ni umuhimu wa vitamini B12 kwa mgonjwa wa ini na magonjwa ya mfumo wa kinga


๐—›๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฟ๐—ฒ๐—ธ๐—ฒ๐—ฏ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐˜€๐—ฒ๐—น๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐˜‡๐—ถ๐—น๐—ถ๐˜‡๐—ผ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ผ๐—ธ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐˜‚๐—ฑ๐—ฎ ๐—บ๐—น๐—ฒ๐—ณ๐˜‚, ๐˜€๐˜‚๐—บ๐˜‚ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—บ๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐˜๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ถ๐—ป๐—ถ


  • Vitamini B12 inahusika katika kutengeneza ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐—ป๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐——๐—ก๐—” ๐˜‡๐—ฎ ๐˜€๐—ฒ๐—น๐—ถ na kurejesha seli mpya za mwili, ๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐˜„๐—ฒ๐—บ๐—ผ ๐˜€๐—ฒ๐—น๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ถ


  • Hivyo, vitamini B12 inasaidia ini lililoharibika kutokana na homa ya ini (Hepatitis B virus), mafuta kwenye ini au cirrhosis kujijenga upya sambamba na matibabu mgonjwa hupona haraka.

 

๐—›๐˜‚๐˜‡๐˜‚๐—ถ๐—ฎ ๐˜‚๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ณ๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ๐˜‚ (๐—ฎ๐—ป๐—ฒ๐—บ๐—ถ๐—ฎ)


  • Wagonjwa wengi wa ini hupata ๐—ฎ๐—ป๐—ฒ๐—บ๐—ถ๐—ฎ (๐—ต๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ๐˜‚) kutokana na kushindwa kwa ini kutengeneza protini na virutubisho vya damu.


  • Vitamini B12 inahitajika ili kutengeneza chembe nyekundu za damu, hivyo inapunguza uchovu, kizunguzungu, damu kupungua mwilini na udhaifu.

 

๐—›๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜‚๐—ฏ๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฒ๐˜ƒ๐—ฎ (๐— ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฝ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ๐˜‚)


  • Wagonjwa wa ini wanaweza kupata ๐—ต๐—ฒ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ฐ ๐—ฒ๐—ป๐—ฐ๐—ฒ๐—ฝ๐—ต๐—ฎ๐—น๐—ผ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ต๐˜† (matatizo ya akili na upotevu wa kumbukumbu). Kupitia vitamini B12 husaidia kulinda mfumo wa neva, kupunguza na kuondoa dalili za kuchanganyikiwa, hasira, au udhaifu wa kumbukumbu.

 

๐—›๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐˜๐—ถ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—ท๐—ฒ๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ฒ๐—น๐—ถ ๐—บ๐—ฝ๐˜†๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ฎ


  • Vitamini B12 inasaidia kubadilisha chakula kuwa nishati, chenye kuleta nguvu mwilini na kwenye seli.


  • Wagonjwa wa ini mara nyingi wanakosa nguvu, hivyo kupitia vitamini B12 husaidia kuongeza nguvu na hamu ya kula kwa mgonjwa.

 

๐—›๐˜‚๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ต๐—ผ๐—บ๐—ผ๐—ฐ๐˜†๐˜€๐˜๐—ฒ๐—ถ๐—ป๐—ฒ


  • Homocysteine ni kemikali ambayo ikiwa juu sana huongeza hatari ya magonjwa ya moyo na mishipa, jambo ambalo linaweza kuwa hatari zaidi kwa wagonjwa wa ini. Kupitia vitamini B12 husaidia kuidhibiti hali iyo isiweze kutokea.

 

๐—›๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฎ๐˜๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜‡๐—ผ ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐—ต๐—ผ๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ถ


  • Baadhi ya dawa za kutibu na kuondoa maambukizi ya virusi vya hepatitis au cirrhosis huathiri matumizi ya virutubisho bora kwenye ini. Ivyo vitamini B12 husaidia kupunguza na kuondoa kabisa madhara ya dawa na kulinda seli za ini zaidi kwa asilimia 100%.

 

๐—ฉ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐˜ƒ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—•๐Ÿญ๐Ÿฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ

Kwa wagonjwa wa ini, ni vizuri kula vyakula vyenye protini nzuri lakini visivyo na mafuta mengi, kama:


  • Dawa za kutibu homa ya ini zilizo na viambata vya NMN ndani yake


  • Samaki (hasa sardine, salmon, dagaa)


  • Mayai ya kuchemshwa


  • Maziwa au mtindi


  • Filigisi ya ndege au kuku (kwa kiwango kidogo)


  • Nyama nyeupe yani nyama ya (kuku hakikisha unaondoa ngozi yake)


Tumekutengenezea mpango wa lishe wa kila siku unaosaidia kuongeza vitamini B12 kwa mgonjwa wa ini (kwa mfano kwa hepatitis B au mafuta kwenye ini fatty liver disease). Bonyeza link hii ya website usoma zaidi mpango huo:


๐— ๐—ฃ๐—”๐—ก๐—š๐—ข ๐—ช๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—Ÿ๐—” ๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ (๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ถ) ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐˜ƒ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—•๐Ÿญ๐Ÿฎ:

Hapa nimekuandalia mpango wa lishe wa kila siku (meal plan) unaofaa kwa mgonjwa wa ini na pia unaongeza kiwango kikubwa cha vitamini B12 bila kuelemewa na mafuta au sumu zinazoweza kulitia ini mzigo.


Mpango huu unafaa kwa wagonjwa wa hepatitis B, mafuta kwenye ini (fatty liver) au cirrhosis ya mwanzo.


๐— ๐—น๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฎ๐˜€๐˜‚๐—ฏ๐˜‚๐—ถ ๐—ฎ๐˜€๐˜‚๐—ฏ๐˜‚๐—ต๐—ถ (๐—•๐—ฟ๐—ฒ๐—ฎ๐—ธ๐—ณ๐—ฎ๐˜€๐˜) ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐˜ƒ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—•๐Ÿญ๐Ÿฎ


  • Kikombe 1 cha uji wa nafaka kamili (mtama, ulezi au shayiri)


  • Yai 1 lililochemshwa (chanzo kizuri cha B12 na protini)


  • Tunda moja: papai, apple au parachichi dogo


  • Kikombe kimoja cha maziwa ya mtindi ambayo husemekana yana kiwango kidogo sana cha mafuta (low-fat milk)


๐—™๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ฎ: Hutoa protini safi, vitamini B12, na madini bila kulitia ini mzigo wa mafuta

 

๐— ๐—น๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ฎ (๐—Ÿ๐˜‚๐—ป๐—ฐ๐—ต)


  • Sahani moja ya wali wa brown (wa mpunga usiokobolewa) au ugali wa dona


  • Kiasi kidogo cha samaki wa kuchemsha au kuchoma (kama dagaa, salmon au sangara)


  • Mboga nyingi za majani: mchicha, spinach, matembele au kabichi


  • Kikombe 1 cha maji ya uvuguvugu baada ya kula ili kuimarisha zaidi mfumo wa usagaji chakula


๐—™๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ฎ: Samaki ni chanzo kikubwa cha vitamini B12 na omega-3 ambazo hulinda ini na mfumo wa kinga

 

๐— ๐—น๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ท๐—ถ๐—ผ๐—ป๐—ถ (๐—ฆ๐—ป๐—ฎ๐—ฐ๐—ธ)


  • Kikombe cha mtindi (yogurt) au maziwa mgando


  • Vipande viwili vya matunda safi (apple, ndizi au tikiti maji)


๐—™๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ฎ: Hurejesha bakteria wazuri tumboni na kusaidia mmengโ€™enyo wa chakula bila kulitia ini mzigo.

 

๐— ๐—น๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ธ๐˜‚ (๐——๐—ถ๐—ป๐—ป๐—ฒ๐—ฟ)


  • kula supu ya nyama ya kuku aliechunwa ngozi au kuku wa kuchomwa bila mafuta au kiasi kidogo cha maharage


  • Sahani moja ya viazi vitamu au ndizi zilizochemshwa


  • Mboga mchanganyiko (spinach, karoti, nyanya, tembele, mchicha, pilipili hoho)


  • Maji ya uvuguvugu kabla au baada ya kula


๐—™๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ฎ: Hutoa protini safi, vitamini B12, na virutubishi vinavyosaidia ini kujijenga upya kama likiwa na majerahaa.

 

๐—™๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐˜ƒ๐—ถ ๐—ธ๐—ฎ๐—ฏ๐—น๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ๐—น๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐—ฏ๐—น๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ธ๐˜‚


  • Kikombe kidogo cha maziwa au mtindi au unaweza kula tunda moja (apple au papai)

 

๐—ฉ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฒ๐—ฝ๐˜‚๐—ธ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐—ท๐˜‚๐—บ๐—น๐—ฎ ๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ป๐—ท๐—ฒ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚


  • Vyakula vya kukaanga na mafuta mengi


  • Vyakula vyenye sukari nyingi (vinywaji baridi, keki, pipi)


  • Unywaji wa pombe au kilevi chochote


  • Vyakula vya kusindikwa (sausages, chips, biskuti zenye kemikali)


  • Vyakula vyenye kupikwa na chumvi nyingi

 

๐—ž๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐˜†๐—ฎ, ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ


  • Kunywa maji ya kutosha (angalau lita 2 kwa siku) ili kuzuia kupungukiwa na maji mwilini (Dehydration)


  • Fanya mazoezi mepesi kama kutembea dakika 20โ€“30 kila siku


  • Epuka dawa za kienyeji (Mitishamba) bila ushauri

 

๐—ž๐—จ๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—”:-  Ni muhimu kufuatilia afya yako kwa kufanya vipimo vya mara kwa mara na kuyafikia matibabu ya mapema pale tatizo linapo bainika, kwani kila sekunde ni muhimu katika kuokoa maisha na kuepuka madhara ya kudumu.


๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ.

Taarifa zaidi

Karibu kwa huduma!