Tafuta

Appointiment


*

Ugonjwa wa kisukari, Visababishi, Dalili za Kisukari Mwilini, Madhara na Matibabu.


Mwili wa mwanadamu unahitaji sukari kama chanzo cha nishati kwa seli zote za misuli, tishu na ubongo. Wakati wowote, viwango vya glukosi katika damu hudhibitiwa na homoni inayoitwa โ€˜insuliniโ€™, ambayo hutolewa na kongosho. Kwa watu wenye ugonjwa wa kisukari, insulini inayotolewa na kongosho haitoshi, au seli za mwili huwa sugu kwa insulini. Hii husababisha kuongezeka kwa viwango vya sukari ya damu, inayojulikana kama sukari ya juu ya damu.


FAHAMU ZADI KUHUSU UGONJWA WA KISUKARI NA MATIBABU YAKE:


Ugonjwa wa kisukari (Diabetes mellitus) ni hali ambayo kiwango cha sukari (glucose) katika damu kinakuwa juu kuliko kawaida kwa muda mrefu, kutokana na matatizo katika utendaji wa homoni ya insulin au ukosefu wake kabisa, kushuka kwa DNA za seli na magonjwa ya kongosho.

ย 

๐Ÿฉธ ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—ญ๐—ข (๐—ฆ๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐˜‚ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜‚๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐˜€๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ)

Kuna aina kuu mbili za kisukari, kila moja ikiwa na chanzo chake:


๐Ÿญ. ๐—ž๐—ถ๐˜€๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—”๐—ถ๐—ป๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ž๐˜„๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ (๐—ง๐˜†๐—ฝ๐—ฒ ๐Ÿญ ๐——๐—ถ๐—ฎ๐—ฏ๐—ฒ๐˜๐—ฒ๐˜€)

ย 

  • Hutokea pale ambapo kongosho (pancreas) hushindwa kabisa kutengeneza insulin.

ย 

๐—ฉ๐—œ๐—ฆ๐—”๐—•๐—”๐—•๐—œ๐—ฆ๐—›๐—œ ๐—ฉ๐—œ๐—ž๐—จ๐—จ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—ฆ๐—จ๐—ž๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—–๐—›๐—” ๐—”๐—œ๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—ช๐—”๐—ก๐—ญ๐—”:


  • Mfumo wa kinga ya mwili hushambulia seli zinazotengeneza insulin (autoimmune disease).

    ย 

  • Huonekana zaidi kwa watoto na vijana wadogo.

    ย 

  • Vinasaba (urithi wa kifamilia) vinaweza kuchangia.

ย 

๐Ÿฎ. ๐—ž๐—ถ๐˜€๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—”๐—ถ๐—ป๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฃ๐—ถ๐—น๐—ถ (๐—ง๐˜†๐—ฝ๐—ฒ ๐Ÿฎ ๐——๐—ถ๐—ฎ๐—ฏ๐—ฒ๐˜๐—ฒ๐˜€)

ย 

  • Hii ndiyo aina inayotokea zaidi kwa watu wazima.

    ย 

  • Mwili unazalisha insulin, lakini seli zinashindwa kuitumia vizuri (insulin resistance).

ย 

๐—ฉ๐—œ๐—ฆ๐—”๐—•๐—”๐—•๐—œ๐—ฆ๐—›๐—œ ๐—ฉ๐—œ๐—ž๐—จ๐—จ:


  • Unene kupita kiasi.

    ย 

  • Lishe isiyo bora (vyakula vyenye mafuta na sukari nyingi).

    ย 

  • Kutokufanya mazoezi.

    ย 

  • Msongo wa mawazo (stress).

    ย 

  • Urithi wa kifamilia.

    ย 

  • Umri mkubwa (zaidi ya miaka 40 huongeza hatari).

ย 

๐Ÿฏ. ๐—ž๐—ถ๐˜€๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐— ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ (๐—š๐—ฒ๐˜€๐˜๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป๐—ฎ๐—น ๐——๐—ถ๐—ฎ๐—ฏ๐—ฒ๐˜๐—ฒ๐˜€)


  • Hutokea kwa baadhi ya wanawake wakati wa ujauzito.

    ย 

  • mMara nyingi hupotea baada ya kujifungua, lakini huongeza hatari ya kupata Type 2 baadaye.

ย 

โš ๏ธ ๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—ช๐—” ย ๐—ž๐—œ๐—ฆ๐—จ๐—ž๐—”๐—ฅ๐—œ

Dalili zinaweza kujitokeza taratibu au ghafla, kulingana na aina ya ugonjwa:

ย 

1. Kukojoa mara kwa mara, hasa usiku.


2. Kiu isiyoisha.


3. Kula sana lakini mwili hauongezeki uzito.


4. Kupungua uzito bila sababu.


5. Uchovu au kukosa nguvu.


6. Maumivu ya kichwa na kizunguzungu.


7. Maono kuwa hafifu (vision blurred).


8. Vidonda kutopona haraka.


9. Ngozi kuwasha au kuambukizwa mara kwa mara.

ย 

10. Kwa wanaume - Hupata shida ya ย upungufu wa nguvu za kiume.

ย 

11. Kwa wanawake - Maambukizi ya mara kwa mara ya sehemu za siri kama vile Gonorrhea, ย Kaswende, P.I.D au U.T.I

ย 

๐Ÿ’ฅ ๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—ฆ๐—จ๐—ž๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—จ๐—ฆ๐—œ๐—ข ๐—ง๐—œ๐—•๐—œ๐—ช๐—” ๐—”๐—จ ๐—ž๐—จ๐——๐—›๐—œ๐—•๐—œ๐—ง๐—œ๐—ช๐—”

Kisukari kisipodhibitiwa kinaweza kusababisha matatizo makubwa kwa viungo mbalimbali vya mwili:


๐Ÿญ. ๐— ๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ผ

Kisukari husababisha ugonjwa wa macho na upofu (diabetic retinopathy).

ย 

๐Ÿฎ. ๐— ๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐˜‚๐—ด๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ณ๐—ถ๐—ด๐—ผ

Ugonjwa wa kisukari husababisha ย kushindwa kwa figo (kidney failure).

ย 

๐Ÿฏ. ๐— ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฝ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ๐˜‚

Ugonjwa wa kisukari husababisha na kuongeza hatari ya presha na kiharusi.

ย 

๐Ÿฐ. ๐— ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฝ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ณ๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—บ๐˜‚

Wagonjwa wa kisukari hupata matatizo ya Ganzi, kuchoma miguu au kuwaka moto na shida za mikono (neuropathy).

ย 

๐Ÿฑ. ๐—ฆ๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐—ฝ๐—ถ๐—ฎ ๐—ป๐—ฑ๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐˜†๐—ผ

Husababisha magonjwa ya moyo na mishipa ya damu kama vile shambulio la moyo au mishipa ya moyo kusinyaa.


๐Ÿฒ. ๐— ๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐˜‚๐—ด๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ด๐˜‚๐˜‚

Wagonjwa au waathirika wa kisukari hupaga changamoto ya vidonda visivyopona, hata kukatwa (gangrene).

ย 

๐Ÿณ. ๐— ๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฒ๐—ป๐—ผ, ๐—ณ๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ณ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ

Kisukari ni chanzo cha magonjwa ya fizi na kuoza kwa meno.

ย 

๐Ÿด. ๐— ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐˜‡๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜‚๐—บ๐—ฒ

Kwa upande wa wanaume hupata changamoto au matatizo ya nguvu za kiume.

ย 

๐Ÿต. ๐— ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐˜„๐—ฎ๐—ท๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐˜‡๐—ถ๐˜๐—ผ

Matatizo kwa mama na mtoto (kama uzito mkubwa wa mtoto au kujifungua kwa upasuaji).

ย 

๐—ก๐—”๐— ๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฃ๐—ข๐—ก๐—” ๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—ฆ๐—จ๐—ž๐—”๐—ฅ๐—œ:

ย 

  • Tumia dawa sahihi za kudhibiti kiwango sahihi cha sukari kwenye damu

    ย 

  • Tumia dawa zenye uwezo wa kuimarisha afya ya kongosho na insulini.

    ย 

  • Tumia dawa zenye uwezo wa kurejesha DNA za seli zilizo kufa, kuchakaa au kushuka kwa utendaji wake wa kazi.

    ย 

  • Tumia dawa zenye uwezo wa kudhibiti kinga ya mwili

    ย 

  • Kula chakula bora (epuka sukari, chumvi na mafuta mengi).

    ย 

  • Fanya mazoezi kila siku (angalau dakika 30).

    ย 

  • Dumisha uzito wa kawaida.

    ย 

  • Pima sukari mara kwa mara.

    ย 

  • Epuka msongo wa mawazo.

    ย 

  • Fuata ushauri wa daktari na dawa kama ulivyo elekezwa.

ย 

๐—ž๐—จ๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—”:- ย Ni muhimu kufuatilia afya yako kwa kufanya vipimo vya mara kwa mara na kuyafikia matibabu ya mapema pale tatizo linapo bainika, kwani kila sekunde ni muhimu katika kuokoa maisha na kuepuka madhara ya kudumu.

ย 

๐— ๐—”๐—›๐—”๐—Ÿ๐—œ ๐—ง๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ฃ๐—ข: Hospitali, tunapatikana Dar es salaam Mbezi luis jirani na stendi kuu.


๐—›๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—บ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ฎ ๐——๐—ฎ๐—ธ๐˜๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐˜‚๐—ฟ๐—ถ ๐—ต๐˜‚๐˜๐—ผ๐—น๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐—ฏ๐˜‚๐—ฟ๐—ฒ๐—ฒ.


Unaweza kuwasiliana nasi kwakupiga simu au kutuma ujumbe mfupi wa maandishi kupitia WhatsApp: +255628361104 ย  ย  +255746484873


๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ, ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—๐—ข ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ:

Taarifa zaidi

Karibu kwa huduma!